Habari kuhusu Tunisia
‘Watu Wanapanda Boti hizo kwa Kuwa Bado Wanahitaji Kuishi’
Kampeni ya uokozi Sos Méditerranée yachapisha kwenye blogu yao maelezo ya watu walioponea chupuchupu wakielekea Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean
GV Face: ‘Tupige Kura au Tusipige'? Sauti za Raia wa Tunisia Katika Uchaguzi Unaokaribia

Zaidi ya wagombea 9,000 wa vyama zaidi ya 100 wanagombea kwenye uchaguzi wa mwaka huu
Ungana nasi kwa Mkutano wa Global Voices Tunis Novemba 1

Ungana nasi kwenye mkutano wa Global Voices nchini Tunis Novemba 1, 2014 kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 7 mchana kwenye Maabara ya 404.
Nchini Tunisia, Swali ni Ikiwa ni Lazima Kupiga Kura au Kugomea Uchaguzi
Kadri uchaguzi unavyokaribia nchini Tunisia, watumiaji wa mtandao wanajadili ikiwa uchaguzi huo unastahili kupewa heshima ya kura zao ili kuwachagua wabunge na rais
Blogu ya Tunisia Yazindua Jukwaa la ‘Kuvujisha Taarifa Nyeti’
Blogu ya Tunisia iliyowahi kushinda tuzo iitwayo Nawaat imezindua jukwaa lake la kuvujishia taarifa nyeti: Nawaat Leaks.
Wimbo wa Mahadhi ya Kufoka Upendwao na Vijana nchini Tunisia
Ukiwa umetazamwa zaidi ya mara milioni 3 kwenye mtandao wa YouTube, wimbo wa Houmani umegeuka kuwa wimbo wa taifa kwa vijana wa Tunisia. Afef Abrougui anaeleza kwa nini,
Tunisia: Mwanaharakati wa FEMEN Akabiliwa na Mashtaka Mapya
Wakati mwanaharakati wa FEMEN raia wa Tunisia Amina Tyler akitarajiwa kupanda kizimbani kusomewa mashitaka mapya mnamo Juni 5, chama cha Upinzani kimekosolewa kwa kukaa kimya na kushindwa kumwunga mkono binti huyo
Tunisia: Mgomo Waanza jijini Thala
Kupitia mtandao wa twita, Tounsia Hourra (m-Tunisia huru) anasema [ar] kuna mgomo mkubwa umeanza jijini Thala, kwenye jimbo la Kasserine, leo [Oktoba 8, 2012]. Mgomo huo umekuja kama hatua ya...
Tunisia: Miitikio Tofauti Kufuatia Kuingiliwa kwa Barua Pepe za Waziri Mkuu
Mnamo Aprili 8 “Anonymous Tunisia” kikundi kisichotambulisha majina ya wanachama wao nchini Tunisia (ambacho kinadai kuwa na uhusiano na kikundi cha watu “wasiojitambulisha” ) waingiliao mawasiliano ya watu kiliingilia mawasiliano the ya barua pepe ya waziri mkuu wa Tunisia Hamadi Jebali. Vuguvugu hilo lilipewa jina la utani la (“Achana na Tunisia yangu”) ambayo ni sehemu ya kampeni kuu iitwayo “Operesheni Rejeza Tunisia”.
Tunisia: Mwaka 2011 katika Picha za Mitandao ya Kijamii
Mwaka 2011 ulikuwa wa mabadiliko nchini Tunisia. Yote yalianza kwa kuanguka utawala wa Zeine El Abidine Ben Ali, na kuhitimishwa kwa waislamu wenye msimamo mkali kutwaa madaraka kwa kura. Tazama makala hii ya picha kuona matukio makubwa yaliyotokea Tunisia mwaka huu.