Habari kuhusu Tunisia

Tunisia: Mgomo Waanza jijini Thala

Kupitia mtandao wa twita, Tounsia Hourra (m-Tunisia huru) anasema [ar] kuna mgomo mkubwa umeanza jijini Thala, kwenye jimbo la Kasserine, leo [Oktoba 8, 2012]. Mgomo huo umekuja kama hatua ya...

8 Oktoba 2012

Tunisia: Miitikio Tofauti Kufuatia Kuingiliwa kwa Barua Pepe za Waziri Mkuu

Mnamo Aprili 8 “Anonymous Tunisia” kikundi kisichotambulisha majina ya wanachama wao nchini Tunisia (ambacho kinadai kuwa na uhusiano na kikundi cha watu “wasiojitambulisha” ) waingiliao mawasiliano ya watu kiliingilia mawasiliano the ya barua pepe ya waziri mkuu wa Tunisia Hamadi Jebali. Vuguvugu hilo lilipewa jina la utani la (“Achana na Tunisia yangu”) ambayo ni sehemu ya kampeni kuu iitwayo “Operesheni Rejeza Tunisia”.

30 Aprili 2012

Tunisia: Mwaka 2011 katika Picha za Mitandao ya Kijamii

Mwaka 2011 ulikuwa wa mabadiliko nchini Tunisia. Yote yalianza kwa kuanguka utawala wa Zeine El Abidine Ben Ali, na kuhitimishwa kwa waislamu wenye msimamo mkali kutwaa madaraka kwa kura. Tazama makala hii ya picha kuona matukio makubwa yaliyotokea Tunisia mwaka huu.

25 Januari 2012