Habari Mpya
Rais Wa Umoja Wa Wanafunzi Wa Thailand Akamatwa Kwa Kushiriki Maandamano Ya Kuipinga Serikali
“Rangi inaweza kusafishwa, lakini hauwezi kusafisha uonevu.”
‘Hakuna kupiga Kura Mpaka Barabara Ijengwe': Sababu ya Wanakijiji cha Goa Kususia Uchaguzi Mkuu wa India
Barabara mbaya, ukosefu wa huduma za maji na umeme ziliwasukuma Wagoha hawa kugomea uchaguzi unaoendelea huko Lok Sabha katika kijiji cha Marlem.
Waandishi Wa Habari wa Msumbiji Waachiwa Huru Baada ya Kukaa Kizuizini Kwa Miezi Kadhaa Bila Kufunguliwa Mashtaka
Amade Abubacar na Germano Adriano walikuwa kizuizini tangu Januari lakini walishtakiwa tu hapo Aprili 16. Kwa sasa wanasubiri shauri lao lisikilizwe wakiwa chini ya uangalizi.
Iran, Kama Inavyoelezewa na Kuandikwa na Waandishi wa Habari wa Ki-Irani
Muanzishaji mwenza wa Global Voices Ethan Zuckerman amewaelezea kuwa “mfano wa daraja” watu ambao wanapenda kuelezea utamaduni wa nyumbani kwao kwa watu wanaotoka katika jamii nyingine. Wazo hiki lilitengenezwa kupitia mfumo ulioota mizizi ndani ya Global voices na unaelezea kazi kubwa na utamaduni wa jamii. Kwa kuwa kazi yetu imelenga...
Wabrazili Waingia Mitaani Kumpinga Bolsonaro Kupunguza Fungu la Elimu
Kutoka São Paulo mpaka Amazon, maelfu wa wa-Brazili waliingia mtaani mnamo Mei 15 kupigania elimu ya umma.
Waandishi wa habari wanawake nchini Uganda wanabeba ‘mzigo maradufu’ kutokana na mashambulizi ya mtandaoni pamoja na udhalilishaji
Waandishi wa habari wanawake nchini Uganda wanaubeba mzigo maradufu wa dhuluma inayotokana na jinsia mtandaoni ikiwa ni pamoja na vitisho vinavyohusiana na kuripoti taarifa za kisiasa. Vitisho hivi vinavyoendelea vimesababisha waandishi wa habari wanawake kujiondoa kwenye nyuga za umma.
Kukifanya Kiswahili kionekane: Utambulisho, lugha na Mtandao
Kiswahili ni lugha ya Kiafrika inayozungumzwa sana, lakini muonekano wake mtandaoni ni finyu zaidi. Mwanaharakati wa lugha kutoka Kenya Bonface Witaba anapambana kubadili hali hii.
#MatrikiUtambulisho: Mazungumzo ya Twita yanayoangazia utambulisho na haki za kidijitali barani Africa
Wanaharakati kutoka Burkina Faso, Nijeria, Afrika Kusini na Kenya, wataongoza mazungumzo kwenye mitandao ya kijamii kwa kutumia lugha zao za asili kuhusu masuala ya lugha, makabila na haki za kidijitali barani Afrika.
Serikali ya Zimbabwe yaendelea kutumia habari za mtandaoni kama silaha ya kukandamiza haki za raia
Serikali mpya, iliyoongozwa na Emmerson Dambudzo Mnangagwa,iling’amua mara nguvu ya mitandao ya kijamii. Kama waziri wa zamani wa usalama wa nchi, Mnangagwa pia alitambua umuhimu na nafasi ya upotoshaji taarifa katika nyanja za kisiasa za Zimbabwe.
Je, Uganda itazima intaneti kadiri upinzani unavyozidi kuwasha moto kuelekea uchaguzi mkuu wa 2021?
Wakati uchaguzi wa 2021 unapokaribia, kuna uwezekano mkubwa kuwa utawala wa Uganda utaendeleza ukandamizaji wa wapinzani, ikiwa ni pamoja na kufunga mitandao ya kijamii.