· Novemba, 2013

Habari kuhusu Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini kutoka Novemba, 2013

Iran:Raia wa Mtandaoni Wanane Wakamatwa

  2 Novemba 2013

Mamlaka ya Iran ilitangaza kuwa raia wa mtandaoni wanane ikiwa ni pamoja na mwanamke mmoja walikamatwa katika Rafsanjan, katika Mkoa wa Kerman, kwa madai ya “kutusi utakatifu wa Kiislamu na maadili”.