Habari kuhusu Vyombo na Uandishi wa Habari
Hatua ya Seneta wa Ufilipino Kufanya ‘Habari Potofu’ Ziwe Jinai — Hii Haitamaanisha Kudhibitiwa kwa Habari?
"Unatofautishaje kati ya taarifa ya uongo iliyotokana na kosa la kibinadamu na ile inayosambazwa kwa nia mbaya kupitia magazeti, matangazo au mtandaoni?"
Salvador Adame ni Mwandishi wa Habari wa Saba Kuuawa Nchini Mexico Tangu Mwanzoni mwa 2017
"Ukweli haufi kwa kumuua mwandishi wa habari."
Vyombo vya Habari Tanzania Vyapotosha Mgogoro wa Serikali na Kampuni ya Madini
Mwenyekiti wa kampuni ya madini Barrick Gold amesema jambo moja, lakini vyombo vya habari vimeandika jambo tofauti kabisa.
Ajali ya Basi Yaua Makumi ya Watoto Kaskazini mwa Tanzania
Nchi hiyo ya Afrika Mashariki ina idadi kubwa ya ajali za barabarani barani Afrika.
Wataalam wa Teknolojia Nchini India Wanapambana Kubaini Ujumbe Bandia Unaoenezwa WhatsApp na Facebook
Watumiaji wengi wa mtandao hawafahamu bado namna ya kutofautisha vyanzo halisi vya ujumbe wanaoupokea na vyanzo bandia au hatarishi
Mauaji ya Mwandishi Nchini Mexico Yafufua Hasira Dhidi ya Ukatili kwa Waandishi wa Habari
"They killed Miroslava for talking, for making information that society demands public, and for annoying the powerful, in any of its forms."
Mwanablogu wa Algeria Merzoug Touati Anaweza Kutumikia Jela Miaka 25 Kwa Kufanya Mahojiano na Afisa wa Israel Kupitia Mtandao wa You Tube
Mahojiano yake yanahusu tuhuma za serikali ya Algeria kwamba mataifa ya nje yanachochea maandamano ya kupinga hatua iliyochukuliwa na serikali ya kubana matumizi. Mwanablogu Merzoug Touati anakabiliwa na makosa ya "kutoa taarifa za kiintelijensia kwa afisa wa mataifa ya kigeni."
Watumiaji wa Mitandao ya Kijamii wa Trinidad & Tobago Wamjibu Mshauri wa Trump kwa Kuja na ‘Ukweli Mbadala’
"Ringling Brothers yafungwa kwa kuotea mashindano ya serikali ya Marekani. #KweliMbadala"
Wiki ya Wanablogu wa ki-Caribiani 2016 Yalenga Kukuza Sauti za Eneo Hilo Mtandaoni
Wanablogu wa Caribiani wapo, na wana sauti zinazostahili kutambuliwa.
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Anahitaji Kutendewa Haki
Wiki hii, tunakuletea wanawake wanaosaka au wanaopata haki zao nchini Poland, Uruguay, Urusi na Syria.