· Novemba, 2013

Habari kuhusu Vyombo na Uandishi wa Habari kutoka Novemba, 2013

Je, Ni Mipango Ipi Xi Anayo kwa Vyombo vya Habari Nchini China?

  21 Novemba 2013

David Bandurski kutoka mradi wa vyombo vya habari nchini China anaangalia jinsi sera ya vyombo vya habari ya uongozi mpya wa Chama cha Kikomunisti ya Kichina, hasa baada ya mkutano wa Tatu wa Plenum. Dhidi ya kinyume cha hali ya mazingira mapya ya kitaifa ya usalama wa kamati, swali la...

Wimbi la Ukatili Dhidi ya Waandishi wa Habari Nchini Guatemala

  20 Novemba 2013

Mwandishi wa habari wa Guatemala Carlos Alberto Orellana Chávez alipigwa risasi mnano Jumatatu Agosti 19, 2013, yeye ni mwandishi wa habari wa nne kuuawa nchini Guatemala mwaka huu. Katika makala ya maoni [es] iliyochapishwa katika gazeti la Guatemala Prensa Libre, mwandishi maalum wa ripoti ya Umoja wa Mataifa kwa ajili...

Huzuni na Hasira Mjini Kidal, Mali

Mwanablogu Wirriyamu anaomboleza kuuawa kwa waandishi wa habari wawili wa ufaransa [fr] mjini Kidal, Mali. Lakini kando na huzuni yake kubwa, Wirriyamu pia anajisikia hasira kwa kuona kaskazini mwa Mali inaendelea kutaabika tena kwa mashambulizi ya kigaidi. Anaandika kuhusu hasira ya kimya chake kuhusu hali ya mambo: Tant qu’il ne...

Ufuatiliaji wa Upendeleo Kwenye Vyombo vya Habari Nchini Malaysia

  1 Novemba 2013

Tessa Houghton anashiriki matokeo ya utafiti ambao ulifuatilia upendeleo katika vyombo vya habari nchini Malaysia wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 13 miezi michache iliyopita: Wananchi wa Malaysia ambao walitegemea Kiingereza na Bahasa magazeti ya Malaysia na/au televisheni kama chanzo cha vyombo vyao vya habari wakati wa kampeni ya GE13 hawakutolewa...