· Disemba, 2010

Habari kuhusu Vyombo na Uandishi wa Habari kutoka Disemba, 2010

Brazil: Leo Rais, Kesho Mwanablogu

  2 Disemba 2010

Rais wa Brazil anayeondoka madarakani Luis Inácio Lula da Silva (Lula) alihojiwa na wanablogu wapenda maendeleo (au wenye mlengo wa kati kuelekea kushoto) kwa mara ya kwanza wiki hii, tukio ambalo limechukuliwa na wengi kama hatua muhimu katika msukumo uliopo unaotaka mfumo wa habari wa kidemokrasia zaidi nchini Brazil.