· Disemba, 2013

Habari kuhusu Vyombo na Uandishi wa Habari kutoka Disemba, 2013

Ufisadi: Tishio kubwa kwa uhuru wa kujieleza Barani Amerika ya Kusini

  1 Disemba 2013

Katika miaka 20 iliyopita, waandishi wa habari 670 wameuawa katika Amerika ya Kusini na Caribbean,kwa mujibu wa wajumbe kutoka muungano wa IFEX-ACL, ambayo hivi karibuni iliwasilisha Ripoti ya Mwaka juu ya Ukatili 2013 iliyosema: “Nyuso na Mabaki ya Uhuru wa Kujieleza Amerika ya Kusini na Caribbean.” Uhalifu – ambao nyingi bado...