Habari kuhusu Vyombo na Uandishi wa Habari kutoka Februari, 2016
Magazeti Nchini Iran Yabaini Udhalilishaji na Unyanyasaji wa Wanafunzi wa Afghanistan
“Hakuna matamko rasmi ya serikali yanayokemea uonevu dhidi ya wanafunzi wa Afghanistani. Tatizo ni mtazamo walionao wanajamii.”
Uandishi wa Habari ni Kosa la Jinai Nchini Bahrain
Mwandishi wa habari wa Marekani, Anna Therese Day pamoja na wenzake walishikiliwa nchini Bahrain, na kisha kurudishwa nchini mwao wakati wa kumbukumbu ya miaka mitano ya maandamano ya kuipinga serikali ya nchini Bahrain.