Habari kuhusu Vyombo na Uandishi wa Habari kutoka Aprili, 2015
Je, Blogu Zinaelekea Kutoweka?
Makala haya ni sehemu ya 46 ya #LunesDeBlogsGV (#JumatatuYaBloguGlobalVoices) siku ya Machi 23, 2015. Kwenye #LunesDeBlogsGV (#JumatatuyaBloguGlobalVoices), tunajitahidi kuzitunza blogu mithili ya “viumbe wanaoelekea kutoweka”, kwa kushughulikia changamto zinazokabili uwepo wa blogu...
Mchora Katuni wa Malaysia Aapa Kuendelea Kupambana na Serikali Licha ya Kushitakiwa kwa Uchochezi

"Sitanyamaza. Ninawezaje kutokuwa na upande, wakati hata penseli yangu ina upande!"
‘Msanii wa Uke’ Nchini Japani Akana Mashitaka ya Ukiukaji wa Maadili
Msanii wa Kijapani Megumi Igarashi, anayeitwa kwa jina la utani "Msanii wa uke" na vyombo vya habari vya Magharibi, anasema sanaa yake inayotokana na sehemu zake za siri haivunji maadili.
Baada ya Magaidi Kuua Watu Wasiopungua 147, Kulikoni Dunia Haiungani na Kenya?
Shambulio la Charlie Hebdo liliibua simanzi na mshikamano duniani kote, lakini shambulio la kigaidi nchini Kenya halijapewa uzito unaostahili.
Watu 147 Waliouawa Garissa Ni Zaidi ya Takwimu
Watumiaji wa mtandao wa Twita wameanza kutumia alama habari #147notjustanumber kuadhimisha maisha ya wahanga wa shambulio la kigaidi lililotokea kwenye Chuo Kikuu cha Garissa.