Habari kuhusu Vyombo na Uandishi wa Habari kutoka Julai, 2018
Wanaharakati Dhidi ya Rushwa Nchini Urusi Wafungwa kwa “Kuchochea Maandamano” kwa Walichokiandika kwenye Mtandao wa Twita
"...hapa tena tunashuhudia mkutano ukiandaliwa kwa kupitia mtandao wa Twita. Inavyoonekana wakati huu watajikuta wanamkamata kila mtu."
Serikali ya Cambodia Yasema Uchaguzi Ujao Utahusisha Watu Wengi na Utakuwa Huru na Haki—Lakini Asasi za Kiraia Zinasema Vinginevyo
Serikali imevunja chama kikuu cha upinzani, kuweka vizuizi kwa waangalizi wa uchaguzi, panua udhibiti wake juu ya mitandao ya kijamii na kufungua mashtaka ya kodi dhidi ya vyombo vya habari vinavyokosoa serikali.
Mwandishi wa Habari Mlebanoni Pamoja na Kutokuwepo Ahukumiwa Kifungo, ‘Kwa kumkashifu’ Waziri wa Mambo ya Kigeni kupitia Facebook
Akiishi kama mkimbizi nchini Uingereza, Fidaa Itani anasema hukumu hiyo inatamatisha enzi za uhuru wa kutoa maoni nchini Lebanon.