· Julai, 2012

Habari kuhusu Vyombo na Uandishi wa Habari kutoka Julai, 2012

Tanzania: Kufungiwa ‘Mwanahalisi’, uhuru wa habari mashakani?

Mnamo tarehe 30 Julai, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Msajiri wa Habari ilitangaza kulifungia kwa muda usiojulikana gazeti la Kiswahili linalotoka mara moja kila wiki la 'MwanaHalisi'. Ulimwengu wa habari umepokea taarifa hiyo kwa mshtuko mkubwa. Hivi ndivyo wanaharakati wa mtandaoni wanavyoeleza hisia zao kuhusu tangazo hilo.

30 Julai 2012

Palestina: Makala Kuhusu Kifo cha Arafat yaibua maswali

Kituo cha habari cha Al Jazeera hivi karibuni kilionyesha makala iliyohusu kifo cha utata cha rais wa Palestina Yasser Arafat kilichotokea mjini Paris mnamo Novemba, 2004. Makala hayo yanadai kwamba kiongozi huyo hakufa kifo cha kawaida, ila aliwekewa sumu ya poloni, madai ambayo yanaibua maswali mengi.

12 Julai 2012

Tazama Picha za Afghanistan Ambazo Huwa Huzioni

Vyombo vingi vya habari vinavyovipoti hali inavyoendelea nchini Afghanistan hubeba taswira mbya. Kupitia miwani yao, Afghanistan huoneshwa kama nchi inayozama kwenye vimbi la mapigano na sura ya kijeshi. Wapiga kura kadhaa wanawasaidia watu kuona nchi hiyo iliyoathiriwa na vita lakini nzuri kwa mtazamo tofauti.

7 Julai 2012