Habari kuhusu Vyombo na Uandishi wa Habari kutoka Juni, 2021
Waandishi wa habari wa vita wanaomboleza kuuawa kwa waandishi wa Uhispania nchini Burkina Faso
Mapigano baina ya makundi ya wapiganaji wa jihad yameendelea kuongezeka tangu mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika 2015
Serikali ya Angola Yafungia Kituo cha Runinga cha Kibrazili kwa Madai ya ‘Kukiuka Taratibu’
Serikali yatoa ufafanuzi wa kukisimamisha kufanya shughuli zake kituo cha runinga cha Record TV África kwa kile kinachoelezwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wake hakuwa "mzawa" wa Angola. Hata hivyo, kituo hiki kilishafanya mabadiliko ya Mkurugenzi Mtendaji na kumweka raia mzawa.