Habari kutoka 28 Juni 2013
Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Nchini Saudi Afungwa Miaka Nane Jela
Abdulkareem al-Khadar, mwanafamilia ya kifalme mwanzilishi wa shirika la haki za binadamu, Chama cha ki-Saudi cha Haki za Kiraia na Kisiasa (ACPRA), alihukumiwa kifungo cha miaka nane jela kwa kosa la uchochezi na kuanzisha shirika la haki za binadamu lisilo na leseni pamoja na mashtaka mengine
Mtu Mmoja Afariki Kwenye Maandamano Yanayoitikisa Brazil
Kijana mdogo aliuawa baada ya kugongwa na gari huko Ribeirao Preto na dazeni ya watu wengine walijeruhiwa pale waandamanaji walipokuwa wakikabiliana na polisi katika majiji ya Brasilia, Rio de Janeiro na Salvador kufuatia watu zaidi ya milioni moja kujitokeza katika mitaa ya majiji makubwa na madogo nchini kote Brazil katika maandamano makubwa ambayo hayakuwahi kushuhudiwa nchini humo kwa miongo miwili.