10 Disemba 2013

Habari kutoka 10 Disemba 2013

“Mimi ni Mchuuzi Mjerumani Mjini Dakar”

Muda mfupi baada ya kuwasili kwangu Senegal, nilikutana na kijana. Alinieleza hamu yake ya kuondoka Senegal katika mkutano wetu wa kwanza. Nilitaka kuelewa yaliyosababisha hamu yake ya kuondoka na hali ya maisha yake ya kila siku ili nipate kufahamu maelezo ya kijamii na ya kiutamaduni ya kutaka kwake kuondoka. Alikuwa...

Kudumisha Maadili Muhimu ya Vijana wa Bhutanese

  10 Disemba 2013

Bhutan imebarikiwa na endelevu, urithi tajiri wa utamaduni na watu wa Bhutanese wana fahari katika kuunga mkono idadi ya maadili muhimu ikiwa ni pamoja na maelewano, huruma na uzalendo. Mwanablogu Dorji Wangchuk amekuwa akifanya kazi kurejesha watumiaji madawa ya kulevya na walevi na kutafuta ufumbuzi wa muda mrefu wa tatizo...

Sababu za Ajali Barabarani Mjini Bangkok

  10 Disemba 2013

Cha kushangaza, polisi mjini Bangkok, Thailand wanadai kwamba asilimia 30 ya ajali za barabarani husababishwa na ‘magari yasiyostahili kuwa barabarani’ wakati yanayo endeshwa kasi ni asilimia 5 ya ajali. Mwandishi Thitipol Panyalimpanun anabainisha kuwa katika nchi nyingi, ajali za barabarani hulaumiwa kwa makosa dereva na si juu ya magari.

Caribbean: Kwaheri, Nelson Mandela

  10 Disemba 2013

Tangazo la kifo cha Nelson Mandela limepokelewa kwa mshtuko. Wanablogu wa maeneo mbalimbali wanashirikishana mawazo yao kuhusu kuondoka kwa mmoja wa magwiji wa upinzani kwa njia za amani duniani aliyetutoka.