Habari kutoka 10 Disemba 2013
Soka pekee huigawa Tanzania

Tanzania inajivunia umoja wake wa kikabila na kidini. Lakini siku watani wa jadi wa Dar es Salaam, hisia za mgawanyiko huwa bayana baina ya mashabiki
“Mimi ni Mchuuzi Mjerumani Mjini Dakar”
Muda mfupi baada ya kuwasili kwangu Senegal, nilikutana na kijana. Alinieleza hamu yake ya kuondoka Senegal katika mkutano wetu wa kwanza. Nilitaka kuelewa yaliyosababisha hamu yake ya kuondoka na hali...
Kudumisha Maadili Muhimu ya Vijana wa Bhutanese
Bhutan imebarikiwa na endelevu, urithi tajiri wa utamaduni na watu wa Bhutanese wana fahari katika kuunga mkono idadi ya maadili muhimu ikiwa ni pamoja na maelewano, huruma na uzalendo. Mwanablogu...
Sababu za Ajali Barabarani Mjini Bangkok
Cha kushangaza, polisi mjini Bangkok, Thailand wanadai kwamba asilimia 30 ya ajali za barabarani husababishwa na ‘magari yasiyostahili kuwa barabarani’ wakati yanayo endeshwa kasi ni asilimia 5 ya ajali. Mwandishi...
Caribbean: Kwaheri, Nelson Mandela
Tangazo la kifo cha Nelson Mandela limepokelewa kwa mshtuko. Wanablogu wa maeneo mbalimbali wanashirikishana mawazo yao kuhusu kuondoka kwa mmoja wa magwiji wa upinzani kwa njia za amani duniani aliyetutoka.
#Mambo52KuhusuTanzania katika Kusherekea Miaka 52 ya Uhuru
Tanzania Bara ilisherehekea miaka 52 ya uhuru wake tarehe 9 Desemba, 2013. Katika kusherehekea siku hiyo, alama habari ya #Mambo52KuhusuTanzania ilitumika kushirikishana takwimu na mambo halisi kuhusu nchi hiyo.