Habari kutoka 17 Mei 2018
Zoezi la Historia Lililotolewa Shuleni Kuhusu Namna ya Kufundisha Utumwa Lazua Mzozo Jamaica
"Sasa kwa zoezi hili, je, Hillel wangeweza kutoa zoezi kuhusu Vita vya Pili vya Dunia ili mwanafunzi aje na mbinu za Ujerumani iliyotawaliwa na Manazi kuwaua Wayahudi?"
Brazil Yatambulisha Kanuni Ngumu Dhidi ya ‘Habari Zisizo za Kweli’ Kuelekea Uchaguzi wa 2018
Kamati yenye wajumbe wanaotoka jeshini, polisi na idara ya Usalama ya Brazili itakuwa na kazi ya kufuatilia na ikibidi kutoa amri ya kufungiwa kwa habari za uongo kwenye mitandao ya kijamii.