Habari kutoka 22 Julai 2014
Tafakuri Baada ya Kombe la Dunia la FIFA 2014 Nchini Brazili
Mwanafunzi wa Mexico Álvaro anablogu kuhusu hisia na maoni yake kuhusu Kombe la Dunia la FIFA 2014 nchini Brazil. Anatafakari kuhusu kufanya vibaya kwa timu za mataifa ya Mexico na Brazili, lakini anasaili kile anachokiita kushindwa kwa mkakati wa Rais wa Brazili Dilma Rouseff. Días antes del comienzo del mundial,...
Namna ya Kuwa Baba Mwema
Raia wa Panama Joel Silva Díaz anafafanua kile ambacho kinawashangaza watu wengi, hususani wanaume: namna ya kuwa baba mwema. Kwenye blogu yake anaeleza changamoto alizokutana nazo na baba yake mwenyewe na kuhusianisha na malengo yake kama baba: …Recuerdo que veía como un juego el buscar un tema de conversación, debido...