16 Septemba 2013

Habari kutoka 16 Septemba 2013

Bunge la Tanzania Lageuka Uwanja wa Masumbwi

Siku za hivi karibuni, Mbunge wa Bunge la Tanzania alijikuta katika wakati mgumu pale alipokabiliana kwa nguvu na majibizano na maafisa wa usalama wa Bunge. Si mara ya kwanza kwa hali ya mambo kuishia kwa machafuko katika Bunge la Tanzania.

16 Septemba 2013