30 Novemba 2012

Habari kutoka 30 Novemba 2012

Mwanzilishi wa Kikundi cha Kijeshi Kilichofutwa Nchini Pakistani Ajitolea Kuisaidia Marekani.

Wakati kukiwa na makelele na uharibifu mkubwa huko ukanda wa pwani ya mashariki mwa Marekani unaotokana na kimbunga kikubwa kijulikanacho kwa jina la Sandy, Hafiz Mohammad Saeed, mwanzilishi wa shirika la kijeshi lililofutwa la Lashkar e Taiba (LeT) na kiongozi wa Jaamat ud Dawa (JuD) ajitolea kutoa misaada ya kibinadamu kwa Marekani ili kufidia uharibifu.

30 Novemba 2012