9 Novemba 2010

Habari kutoka 9 Novemba 2010

Haiti: Video Inayookoa Maisha

  9 Novemba 2010

Mganga nayeishi jijini Fransisco ambaye pia ni mwanablogu Dkt. Jan Gurley amezuru Haiti mara mbili tangu lilipotokea tememeko la ardhi la Januari 12 ili kuwahudumia watu kwa kujitolea. Ziara yake ya pili ilikutana na tukio la maambukizi ya kipindupindu ambalo limetwaa maelfu ya maisha na kusababisha maelfu wengine kulazwa hospitali...