Habari kutoka 3 Januari 2010
Ethiopia: Adhabu ya Kifo Ili Kuwatisha Waethiopia
Berhanu Nega, mmoja kati ya watu waliohukumiwa kifo na mahakama ya Ethiopia anasema hashangazwi na adhabu ya kifo.
Japan: Tangaza Ujumbe, Tafsiri
Mahojiano ya video [en] ya Kyo Kageura, mkuu wa mradi wa Minna no Honyaku (みんなの翻訳, Tafsiri kwa Wote) [ja], jukwaa jipya la tafsiri ambalo linazisaidia Asasi Zisizo za Kiserikali na zile Zisizo za Kibiashara kueneza ujumbe wao, shukrani kwa wafasiri wa kujitolea. Global Voices Japan ilimuuliza kuhusu changamoto za Minna...
Sudani: Je, Umoja Bado Ni Chaguo la Kimkakati
Akiandika kwa Kiarabu, mwanablogu wa Kisudani Ayman Hajj anajadili siasa za nchi yake na kwa nini watu wengi wa Sudani wanapoteza imani katika umoja.