Habari kuhusu Amerika Kusini
Brazil Yatambulisha Kanuni Ngumu Dhidi ya ‘Habari Zisizo za Kweli’ Kuelekea Uchaguzi wa 2018
Kamati yenye wajumbe wanaotoka jeshini, polisi na idara ya Usalama ya Brazili itakuwa na kazi ya kufuatilia na ikibidi kutoa amri ya kufungiwa kwa habari za uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Maandamano ya Nicaragua Yachochea Kufungwa kwa Vyombo vya Habari, Shambulizi la DDos na Mauaji ya Mwandishi wa Habari Angel Gahona
Ripoti ya Utetezi wa Raia wa mtandaoni inakuletea mkusanyiko wa changamoto, mafanikio na mwenendo wa matukio yanayojitokeza kuhusiana na haki za matumizi ya mtandao wa intaneti ulimwenguni kote.
Mwanahabari wa Mexico Aliyeuawa Cándido Ríos: ‘Silaha Zetu Hazirushi Risasi. Silaha Zetu Hurusha Ukweli’
"Juhudi zake zisizokoma za kulaani vitendo vinavyokiuka haki zilimfanya awe maarufu kwa wasomaji lakini pia maadui kama meya wa zamani wa mji wa Ríos aliyetishia kumwua mara kadhaa."
Mizaha Inavyotumika Kuelewa Mapambano ya Puerto Rico na Washington
Mtandao wa Juice Media umehoji: Je, uko tayari kwa ukweli wa kiasi hiki?
Salvador Adame ni Mwandishi wa Habari wa Saba Kuuawa Nchini Mexico Tangu Mwanzoni mwa 2017
"Ukweli haufi kwa kumuua mwandishi wa habari."
Wito wa Kimataifa wa Kudai Haki Wawaunganisha Wachoraji Nchini Guatemala
Ni miezi miwili sasa tangu wasichana 41 kuuawa kwa kuchomwa moto kwenye nyumba ya kulelea watoto inayosimamiwa na serikali. Hata hivyo, serikali ya Guatemala imekuwa imekuwa ikisuasua kwenye kuchukua hatua.
Idadi Kubwa ya Raia Nchini Brazil Waungana na Kufanya Mgomo wa Kitaifa.
Waandamanaji wanashikilia msimamo kupinga mfululizo wa mabadiliko yanayolazimishwa na Rais wa Brazili Temer, mwenye wingi wa vitu vya wabunge na uungwaji mkono wa wafanyabiashara pamoja na kupoteza umaarufu wake.
Maandamano na Tuhuma za Udanganyifu Vyafuatia Uchaguzi wa Rais wa Ecuador
"Kuigawa nchi katika vipande viwili visivyopatana kwa asilimia 50: hayo ndiyo mafanikio makubwa ya Rafael Correa Delgado."
Mauaji ya Mwandishi Nchini Mexico Yafufua Hasira Dhidi ya Ukatili kwa Waandishi wa Habari
"They killed Miroslava for talking, for making information that society demands public, and for annoying the powerful, in any of its forms."
Simulizi la Shoga, Kijana Mweusi Aishiye Nje Kidogo ya Mji wa São Paulo, Aliyekuja kuwa Mtengeneza Filamu
"Siogopi kutengeneza video zangu na kuonesha sehemu ninayoweza kuiita nyumbani. Huu ndio ukweli wangu."