Habari kuhusu Amerika Kusini kutoka Novemba, 2014
Kuelimisha Wasichana Leo, Kuwawezesha Wanawake Kesho
Marita Seara, anayeblogu kwenye Voces Visibles (Sauti Zinazoonekana), anatukaribisha kutafakari suala la ubaguzi unaowaathiri wasichana na vijana wanaopevuka —kupata elimu– na hitaji ya kuwaelimisha wasichana wetu leo ili waweze kuwa...
Kufanyiwa Kazi na Faida za Matokeo ya Utafiti, Tafiti za Vyuo Vikuu Zina Tija?
Mawazo ikiwa umma wa wananchi unathamini tafiti zinazofanywa na vyuo vikuu, yamewachokoza mwanazuoni César Viloria kutoa mwangaza kidogo kuhusu suala hili kwenye blogu yake. Kuhusu utafiti, lazima tufahamu kwamba kuna...