Habari kuhusu Ecuado
Nchini Ecuador, Binti Ashinda Haki ya Kutumia Ubini wa Mama Zake Wawili
"Satya, Helen, na Nicola, wamepambana kutimiza ndoto yao ya kuwa na furaha ya familia na hatimaye wamevunja viambaza vya kutengwa na kufanikiwa kujipatia haki ya kuwa sehemu ya familia."
Maandamano na Tuhuma za Udanganyifu Vyafuatia Uchaguzi wa Rais wa Ecuador
"Kuigawa nchi katika vipande viwili visivyopatana kwa asilimia 50: hayo ndiyo mafanikio makubwa ya Rafael Correa Delgado."
Kutana na Vijana wa Ecuado Wanaoendesha Kipindi cha Kwanza cha Lugha ya ki-Chwa Radioni Nchini Marekani
“Kipindi hiki kinahusu kujieleza na bila kuogopa kufanya hivyo.”
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Waliopotea
Wiki hii, tunakupeleka Ecuador, Uganda, Bangladesh, Ukraine na Pakistan.
Sababu za Kusafiri Mara Moja Moja
Kwenye blogu yake iitwayo Historias de una mujer lobo (Hadithi ya mbwamwitu wa kike), Natalia Cartolini anatafakari kuhusu sababu za kwa nini kusafiri kunaweza kuwa na faida kama, kwa maoni yake, “kutembelea maeneo mapya au kukutana na watu wapya wenye mtazamo mwingine ni muhimu wakati wote. Haijalishi kama unatoka kutembea...
Ecuador: “Harakati ya Kiasili Itaendelea”
“Serikali inaweza kuendelea na jitihada zake za kutufanya sisi kutosikika, lakini mapambano yetu hayawezi kushindwa. Bora kuna ukosefu wa haki, na kuwepo kwa tofauti kubwa kati ya mijini na vijijini kubaki, harakati ya kiasili itaendelea.” Manuela Picq alizungumza na Carlos Pérez Guartambel, kiongozi wa sasa wa Ecuarunari [es] (Shirikisho la...
Ecuador: Serikali Yaifungia Idhaa ya Televisheni ya Teleamazonas
Serikali ya Ecuador iliiondoa idhaa ya televisheni ya teleamazonas kwa masaa 72 kwa kusambaza habari za uongo. Wakosoaji wanaona kuwa hatua hii ni tishio kwa uhuru wa kujieleza.
Ujauzito na Magereza: Afya na Haki za Wanawake Magerezani
Mapambano bado yanaendelea kuhakikisha haki za binadamu kwa wanawake wajawazito duniani pote, ni inaelekea kwamba katika mchakato huo, wanawake waliopo magerezani wanasahauliwa. Je ni hatua zipi zilizochukuliwa kuhakikisha kuwa nao wanaangaliwa kwa utu, kwa kuzingatia uhai wanaoubeba.