Habari kuhusu Habari Kuu kutoka Februari, 2014
Sheria Mpya Uganda: Mashoga Sasa Kukabiliwa na Kifungo cha Maisha Jela
"Siwezi kuelewa wale wanaunga mkono Muswada wa Kupinga Ushoga! Huwezi kupandikiza maoni yako ya ujinsia kwa wengine. Hakuna aliyesema lazima uwe shoga!"
Majadiliano ya GV: Maandamano ya Venezuela
Maandamano ya Venezuela yanahusu nini? Vyombo vya habari za kiraia vina wajibu upi? Tunazungumza na mwandishi wa Global Voices Marianne Díaz kuhusu hali ya mambo inavyoendelea nchini humo hivi sasa.
Mrembo wa Venezuela Auawa kwa Risasi Wakati Akiandamana
Genesis Carmona ameuawa kwa risasi iliyomjeruhi kichwani. Amekuwa mwathirika wa maandamano yanayoendelea nchini Venezuela.
Fuatilia Kuenea kwa Maandamano ya Ukraine
Maandamano yamechukua sura mpya tarehe 18 Februari, na Ukraine sasa imekuwa uwanja wa mapambano baina ya mamia ya maelfu ya raia na vikosi vya ulinzi.
PICHA: Maandamano Yanaendelea Kote Nchini Venezuela
Maandamano yanaendelea katika majiji kadhaa kote nchini Venezuela. Mitandao ya kijamii, hususani twita, imekuwa ikifurika na picha zinazoonyesha yanayoendelea katika kila mkoa.
Warusi “Wapuuza” Olimpiki na Kufuatilia Ghasia za Ukraine
Leo, baada ya ghasia na vurugu kuanza tena kwenye mitaa ya Kiev, na kugeuza kabisa upepo wa habari katika mitandao ya Kirusi. Kwa hakika, picha zinazokuja kutoka Ukraine zinaonyesha kitu kinachofanana na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
PICHA: Muonekano Uletao Kizunguzungu Kutoka Kilele cha Mnara wa Shanghai
Take a look at photos taken by Russian climbing team Vadim Makhorov and Vitaly Raskalov from the top of what will soon be the second tallest building in the world.
Mwandishi wa Habari Mwingine afariki Nchini Mexico: Gregorio Jiménez de la Cruz
Kaburi la siri lilikuwa ni mwisho wa maisha ya mwandishi wa habari wa nchini Mexico, Gregorio Jiménez de la Cruz.. Waliomuua, hadi sasa bado hawajafikishwa mahakamani.
PICHA: Raia wa Costa Rica Waishio Nje ya Nchi Wapata Fursa ya Kupiga Kura
Huu ni uchaguzi wa kwanza wa Urais ambapo imewezekana watu walio nje ya nchi kuweza kupiga kura. Kutoka maeneo mbalimbali ya Dunia, raia wa Costa Rica wamekuwa wakitumia mtandao wa Twita kutaarifu kuhusiana na kupiga kwao kura.