Habari kuhusu Habari Kuu kutoka Oktoba, 2014
Pamoja na Tishio la Ebola, Waafrika Magharibi Waendelea Kutulia na Kuikumbusha Dunia Wao Ni Nani
Wakati Vifo vinavyookana na Ebola vinakaribia 5,000 huku wagonjwa walioripotiwa wakifikia 10,000 wananchi wa Afrika Magharibi watumia nguvu ya mitandao ya kijamii kupambana na ugonjwa wa Ebola
Wanablogu wa Brazili Wadai Mgombea Urais Anawadhibiti Wakosoaji wake Kwenye Mtandao wa YouTube
Watumiaji wenye majina na historia inayofanana wamedai haki miliki dhidi ya video mbili za You Tube zinazomkosoa Mgombe Urais wa Brazili Aécio Neves.
GV Face: Mazungumzo na Mwanaharakati wa Bahrain Ambaye Bahrain Isingependa Tumsikie
Bahrain imeingia mwaka wa tatu ya mapambano na wanaharakati. Taarifa za vyombo vya habari vya Kimataifa zinadai maandamano hayo ni mapinduzi yanayoongozwa na Shia dhidi ya utawala wa Sunni, lakini wanaharakati wanasema hayo ni maelezo mepesi.
Uandishi wa Habari Unapokuwa Haitoshelezi
Andiko la mada ambayo inahitaji majibu yanayokidhi, uandishi wa kizamani unaweza silaha inayofaa
GV Face: Alaa Abd El Fattah na Maryam Al Khawajah Wazungumzia Mgomo wa Kula, Kufungwa na Harakati zao Nchini Misri na Bahrain
Mamia ya wafungwa wa kisiasa wako kwenye mgomo wa kula nchini Misri na Bahrain.