Habari kuhusu Habari Kuu kutoka Novemba, 2015
GV Face: Kuhusu Beirut na Paris, Kwa nini Majanga Mengine Yanatangazwa Zaidi Kuliko Mengine?
Katika toleo la wiki hii la mazungumzo ya GV, tutajadili rangi, siasa za vifo na miitikio isiyo na usawa yanapotokea majanga duniani kote.
Global Voices Yashikamana na Watetezi wa Uhuru wa Kujieleza nchini Morocco
Jamii ya Global Voices yataka kutendeka kwa haki dhidi ya watetezi saba wa uhuru wa kujieleza wanaoshitakiwa nchini Morocco kwa makosa ya “kuhatarisha usalama wa ndani wa Taifa.”
Mitaa ya Paris Inavyonikumbusha Mitaa ya Beirut
"Hatujapata kitufe cha 'salama' kwenye mtandao wa Facebook. Hatujapata salamu za pole usiku wa manane kutoka kwa watu maarufu zaidi duniani pamoja na mamilioni ya watumiaji wa mtandao..."
Jamii ya Lumad Nchini Ufilipino Yasimama Kidete dhidi ya Uonevu
“Jeshi la Ufilipino liliharibu shule yetu. Pia, lilichoma majengo ya ushirika wetu wa kilimo. Nilijikuta nimefungwa gerezani na sasa nimeshitakiwa kwa kusingiziwa kosa la utekaji. Tuna hamu ya kuipata tena ardhi yetu tuliyoirithi kutoka kwa mababu zetu."
Wanablogu wa Zone9 Wasema, ‘Kushikiliwa kwetu Kumefunua Yaliyojificha Nchi Ethiopia’
"Kwa wale waliotufunga gerezani na ambao walitusababishia madhila haya, hata kama hautuombi msamaha, sisi hatuna kinyongo."