Habari kuhusu Habari Kuu kutoka Juni, 2014
Ni Rasmi Sasa, ‘Shoga’ wa Kwanza Kuteuliwa Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu Nchini Puerto Rico
Wakati wengine wakina kuwa usagaji wake si suala la maana, wengine wanasisitiza kuwa hali hiyo ya kimapenzi inahusika katika kile anachokifanya kila siku.
Kikundi cha Kitalibani Chasema Shambulio la Uwanja wa Ndege wa Karachi Lililoua Watu 24 Lilikuwa ‘Kisasi’
Ingawa wanamgambo wanaosemekana kuingia kwenye sehemu ya zamani ya kupumzikia abiria ambayo ilikuwa imetengwa kwa ajili ya watu maarufu na ndege za Hajj, bado sehemu zote hizo zina njia moja tu ya kutua na kupaa ndege na magaidi wameidhibiti.