Habari kuhusu Habari Kuu kutoka Februari, 2015
Twiti kwa #Kilugha Kusherehekea Wingi wa Lugha Mtandaoni
Dunia inazungumza maelfu ya lugha, lakini hutalijua hilo kwa kutazama kwenye mtandao wa twita. Unaweza kusaidia kubadilisha hali hiyo kwa ku-twiti katika lugha yako ya asili mnamo Februari 21.
GV Face: Maandamano Yazuiliwa na Waasi wa Houthi Nchini Yemen
Yemen iko kwenye mzozo wa kisiasa, bila kuwa na rais na serikali, tangu wanamgambo wa Houthi kuangusha taasisi za kiserikali na kuiteka ikulu kwenye mji mkuu wa Sanaa
Raia wa Jordan Washitushwa na Video ya Mauaji ya ISIS, Wamkumbuka Mwanajeshi Aliyeuawa Kishujaa
Muonekano wa kutisha wa video ya mauji ya Rubani wa Jordan imewashitua wengi, lakini baadhi ya watu hawakukubali kuruhusu propaganda za ISIS za kuharibu kumbukumbu nzuri ya shujaa huyu aliyeuawa.