Habari kuhusu Habari Kuu kutoka Oktoba, 2015
Wanaharakati Waomba Ulinzi kwa Makabila Yanayopinga Uchimbaji Madini Nchini Ufilipino
"Wao ndio waasisi wa tamaduni zetu za kipekee za sanaa. Mauji dhidi yao ni mauji ya utu wa watu wetu."
Wasiwasi wa Usalama wa Mfungwa wa Syria, Aliyehamishwa Kwenda Kusikojulikana
Wanaharakati wanaitaka serikali ya Syria kumwachia huru mara moja mwanablogu mfungwa mwenye asili ya Syria na Palestina Bassel Khartabil (Safadi) baada ya kuhamishwa mapema leo kutoka kwenye gereza alilokuwepo kwenda kusikojulikana.