Habari kuhusu Habari Kuu kutoka Agosti, 2016
Pamoja na Kutokupata medali hata moja, Nepali ina kila sababu ya kujivunia
"Pamoja na kuwa hakuweza kuweka rekodi mpya ya kitaifa, ninajivunia kuwa #GaurikaSingh aliogelea kwa heshima ya Nepal kama mwanamichezo mdogo kuliko wote kwenye mashindano ya Olimpiki ya #Rio2016."
Serikali ya Ethiopia Yaua Waandamanaji Wapatao 100 Mwishoni mwa Juma Lililopita
Wakati mamia ya wandamanaji wameingia mitaani mwisho wa wiki hii kwenye majimbo ya Oromia na Amhara, vikosi vya usalama vimetumia nguvu kubwa kuwatawanya waandamanaji kwa risasi za moto. Kuna taarifa kwamba waandamanaji wapato 100 wameuawa.
Serikali ya Bangladesh Yazima Mitandao ya Intaneti na Kufungia Tovuti 35
“Kama sehemu ya zoezi linaloendelea, mitandao yote ya intaneti itazuiliwa kwa muda wakati wowote na eneo lolote la nchi.”