Habari kuhusu Habari Kuu kutoka Aprili, 2016
Mwanablogu wa Irani Agoma Kula kwa Siku 18, Afya Yake Yazorota Akipambana Kudai Uhuru
Mwanaharakati na mwanablogu wa kupinga kudhibitiwa kwa habari Hossein Ronaghi Maleki amekuwa kwenye mgomo wa kula tangu Machi 26, na afya yake inaendelea kuzorota kwa kasi
Yaliyojiri Wiki Hili Global Voices: ‘Nyaraka za Panama’ ni Kitu Gani?
Katika kipidni hiki, hedhi zatumika kisiasa nchini Poland, wa-Chile wenye asili ya Afrika wadai kutambuliwa nchini Chile, na wadhibiti mtandao nchini China wanafanya juhudi za kuondoa nyaraka za Panama -- hata ikibidi kwenye barua pepe.