Habari kuhusu Habari Kuu kutoka Juni, 2016
Raia Mwingine wa Tanzania Asomewa Mashtaka kwa Ujumbe wa Whatsapp ‘Unaomtukana’ Rais
Mulokozi ni mhanga mwingine wa Sheria ya Makosa ya Jinai nchini Tanzania, inayojaribu kukabiliana na masuala kama picha za ngono kwa watoto, udhalilishaji wa mtandao, matumizi mabaya ya taarifa binafsi za watu na kuchapisha taarifa za uongo.
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Ndugu, Timiza wajibu Wako
Wiki hii tunakupeleka Urusi, India, Madagascar, Venezuela na Singapore.
Du! Kosa la Facebook Kugeuza Bendera ya Ufilipino Laifanya Nchi Ionekane iko kwenye ‘Hali ya Vita’
"Jamani @facebook: Bendera ionekane hivi na iwe Siku ya Uhuru. Kweli? ."
Ubaguzi wa India kwa Waafrika Waibuka Tena Baada ya m-Kongo Kuuawa kwa Kupigwa
Sema, "India inakupenda," kwa wa-Islamu, wa-Daliti, wa-afrika, wasio na dini...na kisha rudi ukawapige makofi?