Habari kutoka 31 Agosti 2012
Nigeria: Rais wa Seneti Atakiwa Kuwataja Wafadhili wa Boko Haram
Makundi mawili ya vijana Kaskazini mwa Nigeria Jumatano yalimkosoa Rais wa Seneti, David Mark, kutokana na matamshi aliyotoa siku za karibuni akiwataka viongozi wa mikoa ya kaskazini kudhibiti shughuli za...