12 Disemba 2011

Habari kutoka 12 Disemba 2011

Afrika Kusini: Malema Ameng’oka, Nini Kinafuata?

Mwanasiasa na mtu ambaye husababisha utata zaidi ya wote nchini Afrika Kusini Julius Malema amesimamishwa uanachama wa chama cha ANC kwa miaka mitano. Malema anachukuliwa na mashabiki wake kama sauti ya dhati ya watu masikini wa Afrika Kusini hususani kwa wito wake kuhusu utaifishwaji wa migodi ya Afrika Kusini.

12 Disemba 2011