Habari kuhusu Kenya
Wanawake Wanaovaa Nusu Uchi Wataiokoa Sekta ya Utalii Kenya?
Je, kutembea uchi yanaweza kuwa mbinu bora ya kufufua sekta ya utalii nchini Kenya kufuatia mashambulizi ya wanamgambo wa Al Shabaab?: Seneta mteule, Mbura anasemekana kuwaomba wanawake katika mkoa wa...
Maisha ya Wakenya Yana Thamani, Wanafunzi wa Kiafrika Wasema Kwenye Ibada ya Kuwaombea Wahanga wa Garissa Jijini Beijing
Kikundi cha wanafunzi wa Kiafrika jijini Beijing waliandaa ibada ya kuwakumbuka wahanga 147 wa shambulio la Garissa pamoja na china kutokuwa na uvumilivu kwa watu wanaoomboleza hadharani
Upigaji Kura Unaendelea Tuzo za Blogu Nchini Kenya 2015
Sehemu ya kupiga kura kwenye Tuzo za Blogu Nchini Kenya inaendelea mpaka Aprili 30, 2015: Tuzo za Blogu Nchini Kenya hutafuta kuwatuza wanablogu wanaoandika mara kwa mara, wanaoandika madhui yanayosaidia,...
Kufuatia Shambulizi la Garissa, Jamii ya Wazungumzaji wa Kifaransa Waungana na Wakenya
147 people were killed by gunmen on the campus of Garissa University in Kenya. The world and specifically the french speaking world after Charlie Hebdo, shows support to the victims
Baada ya Magaidi Kuua Watu Wasiopungua 147, Kulikoni Dunia Haiungani na Kenya?
Shambulio la Charlie Hebdo liliibua simanzi na mshikamano duniani kote, lakini shambulio la kigaidi nchini Kenya halijapewa uzito unaostahili.
Watu 147 Waliouawa Garissa Ni Zaidi ya Takwimu
Watumiaji wa mtandao wa Twita wameanza kutumia alama habari #147notjustanumber kuadhimisha maisha ya wahanga wa shambulio la kigaidi lililotokea kwenye Chuo Kikuu cha Garissa.
Makampuni ya Teknolojia Nchini Kenya Yaliyofadhiliwa Mwaka 2014
Je, unayajua makampuni ya teknolojia nchini Kenya yaliyopata ufadhili kwa mwaka 2014? Erik Hersmann anayaorodhesha kwenye blogu yake: Fedha za mtaji wa awali Angani – Huduma za mtandao wa umma...
Namna Teknolojia Inavyosaidia Watu Kujifunza —na Hata Kuokoa—Lugha za Dunia

Waleta mabadiliko sasa wanatumia nguvu ya teknolojia kujaribu kuziokoa lugha zilizo kwenye hatari ya kupotea, na kwa nadra, kuzifufua lugha zilizokwisha kufa.
Tovuti 50 Zilizotembelewa Zaidi Nchini Kenya
Je, unajua ni tovuti gani maarufu zinazotembelewa zaidi nchini Kenya? Soka posti ya James Wamathai kwenye blogu yake kufahamu zaidi: Mengi yamebadilika tangu mwezi Januari, wakati nilipotoa orodha ya tovuti...
Hadithi ya Mapenzi Kibera
Hii ni hadithi ya kusisimua ya mapenzi kati ya Sam, anayetoka Kibera, makazi ya masikini kwenye jiji la Nairobi, Kenya, na Alissa, anayetoka Minnesota, Marekani: Bila shaka, hii ni hadithi...