· Januari, 2010

Habari kuhusu Kenya kutoka Januari, 2010

Kenya: Kiswahili Kuwa Somo La Kuchagua

  22 Januari 2010

Bunmi anaandika kuhusu uamuzi wa kulifanya somo la Kiswahili kuwa la kuchagua nchini Kenya: “Somo hili halitakuwa tena na mtihani wa lazima katika mtihani wa taifa wa darasa la nane…”

Afrika: Matangazo ya “AdWords” Katika Afrika

  13 Januari 2010

Miquel anajadili matangazo ya Google AdWords katika Afrika: “Wakati ingelikuwa ni njia nzuri sana kwa wanablogu wa Kiafrika kupata pesa kidogo ili kulipia gharama za intaneti, Google haitoi chaguo la malipo kwa nchi yoyote ya Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.”