· Aprili, 2015

Habari kuhusu Kenya kutoka Aprili, 2015

Upigaji Kura Unaendelea Tuzo za Blogu Nchini Kenya 2015

  15 Aprili 2015

Sehemu ya kupiga kura kwenye Tuzo za Blogu Nchini Kenya inaendelea mpaka Aprili 30, 2015: Tuzo za Blogu Nchini Kenya hutafuta kuwatuza wanablogu wanaoandika mara kwa mara, wanaoandika madhui yanayosaidia, na wenye ubunifu na ugunduzi. Tuzo hizi ni jitihada za Chama cha Wanablogu Kenya (BAKE) katika kukuza ubora wa maudhui...