Habari kuhusu Kenya
Shindano Dansi la Rais wa Kenya Lakwama Baada ya Wakosoaji Kuliita Dansi ya Aibu
"Wa-Kenya wanateseka na ukame huu na eti tunaombwa tucheze dab #DabYaAibu"
Serikali ya Kenya Yadaiwa Kuwalipa Watumiaji Maarufu wa Mtandao ya Kijamii Kutangaza Habari za “MadaktariWalafi”

Kadri madai ya kuingiliwa kwa mitandao ya kijamii yakiongezeka, viongozi saba wa Chama cha Madaktari nchini Kenya wamehukumiwa kifungo kwa kushindwa kuzima mgomo huo unaoendelea.
Wa-Kenya Wahofia Kuzimwa kwa Intaneti Katika Uchaguzi wa Rais 2017

Kenya would be not the first country in Africa to shut down its Internet during elections -- Uganda and The Gambia have already gone this far.
Tukio Mubashara la Facebook Kukuza Amani na Kupambana na Kauli za Chuki Nchini Kenya
DW Akademie inaandaa tukio la kujadili mikakati ya kupambana na kauli za chuki nchini Kenya kuelekewa kwenye uchaguzi mkuu mwakani.
‘HiviSasa’, Mradi wa Uandishi wa Kiraia Nchini Kenya kwa Ajili ya Tovuti za Simu

"Inapatikana kirahisi, inavutia watu wa makundi tofauti, ina uwazi na kumwezesha mwananchi na serikali ujumla. Wananchi wenye taarifa sahihi hufanya maamuzi bora na sahihi kwa ajili ya maisha yao na kwa serikali yao."
Mtazamo wa Tamasha la Kwanza la WanaBlogu na Vilogu wa Barani Afrika Lililofanyika Huko Dakar, Senegal
Kwa siku mbili, wanablogu na wanavilogu maarufu barani Afrika, wakiambatana na wadau kadhaa wa teknolojia barani Afrika walikuwa na majadiliano ya namna ya kuboresha kazi zao
‘Biko Zulu’, ‘Wananiita Daktari’ na ‘Hadithi za Mama’ Miongoni mwa Washindi wa Tuzo za Blogu Kenya
Washindi wa Tuzo za Blogu Kenya 2016 walitangazwa katika dhifa maalum iliyofanyika mnamo Mei 14 jijini Nairobi, Kenya.
Zoezi la Upigaji Kura Mtandaoni kwa Tuzo za Blogu za Kenya 2016 Laendelea
Tuzo za Blogu Kenya zinakusudia kuwatambua na kuwatuza wanablogu mahiri wa ki-Kenya.
Mfahamu Fish, Mkazi Katika Kambi Kubwa ya Wakimbizi Duniani
Miaka 23 akiwa kama mkimbizi katika kambi ya Dadaab, Abdullah "Fish" Hassan alitoroka kambini hapo kutokana na machafuko, hata hivyo, watoto wake wa kike bado wangalipo kambini hapo
Kutana na Wanadamu wa Kibera, Makazi ya ‘Uswahili’ zaidi Barani Afrika

The story, in pictures, of the lives and challenges of residents of Africa's largest urban slum.