· Disemba, 2009

Habari kuhusu Asia Mashariki kutoka Disemba, 2009

China na Iran: #CN4Iran

Jana, maelfu ya Wa-Irani waliingia mitaani ili kupinga dhidi ya utawala wa kiimla. Maandamano hayo yaliwakumbusha watu wa China juu ya vuguvugu la demokrasi la Tiananmen la 1989 na watumiaji...

28 Disemba 2009

Singapore: Kampeni ya “Kataa Ubakaji”

Nchini Singapore, mara nyingi kumbaka mke wako hakuchukuliwi kama tendo la kubaka. Waandaji wa kampeni ya “Kataa Ubakaji” wanataka kukomesha sheria inayokinga ubakaji ndani ya ndoa kwa kuzindua kampeni ya kukusanya saini ambazo zitawasilishwa kwa watunga sera. Wengi wa raia wa mtandaoni wanaiunga mkono kampeni hii.

23 Disemba 2009

Indonesia: Sarafu za Kudai Haki

Raia wa mtandaoni (Netizens) wamezindua kampeni ya kukusanya fedha zilizo katika muundo wa sarafu ili kumuunga mkono Prita Mulyasari, mama wa nyumbani raia wa Indonesia aliyeandika malalamiko yake mtandaoni dhidi ya hospitali iliyotoa huduma mbaya, na ambaye alipatikana na hatia na mahakama moja ya kosa la "kuchafua jina" la hospitali hiyo binafsi.

8 Disemba 2009

China: Barafu Iliyotengezwa Uchina

Jumapili hii iliyopita tarehe 1 Novemba, Beijing ilishuhudia kuanguka kwa mapema zaidi kwa theluji katika miaka 22 iliyopita. Badiliko hilo la ghafla la hali ya hewa, lililofunika kabisa mji mzima...

5 Disemba 2009