Habari kuhusu Asia Mashariki kutoka Januari, 2017
China Kufungia Kutolewa kwa Huduma ya Mitandao Binafsi ya Intaneti

Serikali ya China imefungia baadhi ya huduma za VPN China tangu 2015, lakini sera mpya inafanya kutumia VPN na huduma za intaneti zisizosajiliwa kuwa kosa
Jeshi la Nchini Thailand Lawaruhusu Watoto Kucheza na Bunduki halisi, Vifaru na Helikopta za Kijeshi
"Tunawawezesha watoto walifahamu vyema jeshi pamoja na zana zinazotumiwa. Kwa uzoefu wanaoupata, wanajifunza kulipenda jeshi na hata kuwa wanajeshi hapo baadae."