Habari kuhusu Asia Mashariki kutoka Januari, 2015
Bunge Lililoteuliwa na Jeshi la Thailand Lapiga Kura ya Kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu
Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand Yingluck Shinawatra amepigiwa kura ya kutokuwa imani naye kwa 'kosa' la kutekeleza mpango wa kununua mchele unaokosolewa kwa kuliletea hasara na matatizo taifa hilo
Wafilipino Walivyomficha Papa Francis Hali Mbaya ya Haki za Kijamii Nchini Humo
Wanaharakati, watoto wa mitaani, na wakazi masikini wa mijini walikuwa baadhi ya watu waliokuwa wamefichwa na serikali wkaati wa ziara ya Papa Francis nchini Ufilipino.