Habari kuhusu Siasa
Mamlaka za Iran Zawakamata ‘Watumiaji wa Instagram’ katika harakati za Kudhibiti Mitandao ya Kijamii
Mamlaka ya Irani yatangaza kuondoa Instagram kwa sababu ya maovu ya "watumiaji mashuhuri wa Instagram". Siku chache baadaye, shirika la utangazaji la serikali afichua kukamatwa kwa "watumiaji mashuhuri wa Instagram."
Wahalifu na Vita vya Kibiashara: Ni Mexico ya Aina Gani Inayomsubiri Rais Mpya?
"Leo nchini Mexico mtu hawezi kujipatia mamlaka kwa kutumia silaha, lakini anaweza kuwa na mamlaka wakiwa na salaha."
Waziri Mkuu wa Zamani wa Pakistan Nawaz Sharif na Binti Yake Anarudi Pakistani Akikabiliwa na Hukumu ya rushwa
"Hukumu hii ni maendeleo makubwa katika vita dhidi ya ufisadi, na kila fisadi lazima aandikwe kwenye kitabu cha walioiibia nchi."
Serikali ya Cambodia Yasema Uchaguzi Ujao Utahusisha Watu Wengi na Utakuwa Huru na Haki—Lakini Asasi za Kiraia Zinasema Vinginevyo
Serikali imevunja chama kikuu cha upinzani, kuweka vizuizi kwa waangalizi wa uchaguzi, panua udhibiti wake juu ya mitandao ya kijamii na kufungua mashtaka ya kodi dhidi ya vyombo vya habari vinavyokosoa serikali.
Waandamanaji wa Amani Kutoka Helmand Wanatarajia Kubadilisha Historia ya Afghanistan
"Kuwaona ilikuwa wakati wa furaha na uponyaji kwangu na kwa mama."
Mwandishi wa Habari wa Kashmiri Shujaat Bukhari Auawa kwa Kupigwa Risasi
"Haiwezekani kujua nani ni adui zetu na nani hasa ni marafiki zetu."
Tovuti huru maarufu nchini Tanzania zafungwa kufuatia ‘kodi ya blogu’
"Hii sio tu ni leseni ya kujidhibiti mwenyewe lakini pia ni namna ya kuwa nyenzo ya serikali kuwafuatilia haki ya kiraia ya wengine (wachangiaji) kujieleza."
Miongo Minane Chuki Bado Ipo Kati ya Wajordani na Wapalestina
Ingawa kuishi pamoja kwa watu wawili huwafanya wawe na amani, ushirikiano mkamilifu bado haujawezekana kwenye baadhi ya maeneo ya maisha.
Sabika Sheikh, Mwanafunzi wa Pakistan Aliyetaka Kuunganisha Nchi Mbili Auawa kwa Kupigwa Risasi
"...alisema...' Ninataka kujifunza utamaduni wa ki-Marekani na ninataka Marekani kujifuzna utamaduni wa Pakistan na ninataka tuje pamoja na tuungane," mama yake wa kufikia anakumbuka.
Kwa Sasa Bunge la Cuba Lina Makamu wa Rais Watatu Weusi. Inakuwaje Hali Hiyo Haikutengeneza Habari?
"Kwa wapinzani kote [...] kila mmoja amekandamizwa kiasi kwamba ubaguzi wa rangi si suala la kupewa uzito. Mabadiliko haya yanahujumu mjadala na yanatuzuia kwenda mbele."