makala mpya zaidi zilizoandikwa na Mghosya kutoka Septemba, 2013
Daktari wa Peru ni Miongoni mwa Waathirika Waliopeza Maisha Westgate
Shirika la Habari la Andina limearifu [es] siku ya Jumamosi, Septemba 21, 2013, kwamba daktari wa ki-Peru Juan Jesús Ortiz ni mmoja wa watu waliuawa katika shambulizi la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, lilisababisha idadi ya vifo vya watu 59 na wengine 175 wakijeruhiwa. Hivi ndivyo Periodismo...
GV Face: Mitazamo Tofauti Kuhusu Habari za Mgogoro wa Syria
Namna gani taarifa za Syria zinatofautiana kulingana na uliko? Na hilo linamaanisha nini kwa wananchi wa Syria? Tulilizungumza hili pamoja na mambo mengine katika toleo la pili la GV Face.
Shambulizi la Nairobi Lasababisha Kutengenezwa kwa Zana Mbili za Dharura Mtandaoni
Zana tumizi ya "The Ping" itawasaidia wanafamilia kutafutana haraka wakati wa dharura wakati "Blood Donation Kenya" itasaidia kuoanisha vituo vya utoaji damu na watu wanaojitolea damu.
Waziri wa Uganda: Wanawake Wasiovaa Mavazi ya Heshima Wanaomba Kubakwa
Waziri wa Mambo ya Vijana wa Uganda Ronald Kibuule ametakiwa kwenda bungeni kujieleza kuhusiana na matamshi yake ya hivi karibuni
Uvumi Waenea Kwamba Putin Amefunga Ndoa Nyingine
Kumekuwepo na tetesi za muda mrefu kuwa Putin ana uhusiano wa kimapenzi na mcheza sarakasi Alina Kabaeva. Uvumi umekuwa mkubwa, kiasi cha kuhisiwa kuwa "wapenzi" hao hatimaye wameoana.
Namna Shambulizi la Westgate Jijini Nairobi Lilivyojadiliwa Kupitia Mitandao ya Kijamii
Mtandao twita ulikamata taarifa za tahayaruki kuhusiana na shambulio katika muda halisi kile ambacho watumiaji waliripoti awali kuwa ni mlipuko na hatimaye kufahamu ukweli wa kutisha
Mwandishi wa Global Voices Awakumbuka Marafiki Waliouawa Kwenye Shambulio la Nairobi
Shurufu, mwandishi wa Tanzania anayeishi Dar es Salaam, alipoteza marafiki Ross Langdon na Elif Yavuz, waliokuwa wakimtarajia mtoto wao wa kwanza.
Blogu na Uhuru wa Saudi Arabia
Saudi Arabia inasherekea Siku ya Uhuru tarehe Septemba 23. Wanablogu wanaeleza matumaini yao kwa taifa ambalo linaheshimu na kuthamini watu wake na matarajio yao.