Christian Bwaya · Oktoba, 2016
- Oktoba 2019 1 ujumbe
- Februari 2019 1 ujumbe
- Julai 2018 1 ujumbe
- Juni 2018 2 jumbe
- Mei 2018 1 ujumbe
- Agosti 2017 1 ujumbe
- Julai 2017 4 jumbe
- Juni 2017 1 ujumbe
- Mei 2017 2 jumbe
- Aprili 2017 1 ujumbe
- Machi 2017 8 jumbe
- Februari 2017 5 jumbe
- Januari 2017 5 jumbe
- Disemba 2016 2 jumbe
- Novemba 2016 7 jumbe
- Oktoba 2016 11 jumbe
- Septemba 2016 4 jumbe
- Agosti 2016 1 ujumbe
- Julai 2016 9 jumbe
- Juni 2016 9 jumbe
- Mei 2016 5 jumbe
- Aprili 2016 7 jumbe
- Machi 2016 6 jumbe
- Februari 2016 1 ujumbe
- Disemba 2015 1 ujumbe
- Novemba 2015 6 jumbe
- Oktoba 2015 5 jumbe
- Septemba 2015 1 ujumbe
- Juni 2015 10 jumbe
- Mei 2015 10 jumbe
- Aprili 2015 25 jumbe
- Machi 2015 2 jumbe
- Februari 2015 19 jumbe
- Januari 2015 4 jumbe
- Novemba 2014 6 jumbe
- Oktoba 2014 19 jumbe
- Septemba 2014 21 jumbe
- Agosti 2014 1 ujumbe
- Julai 2014 43 jumbe
- Juni 2014 15 jumbe
- Mei 2014 23 jumbe
- Aprili 2014 44 jumbe
- Machi 2014 57 jumbe
- Februari 2014 34 jumbe
- Januari 2014 6 jumbe
- Disemba 2013 7 jumbe
- Novemba 2013 4 jumbe
- Oktoba 2013 26 jumbe
- Septemba 2013 18 jumbe
- Agosti 2013 2 jumbe
- Julai 2013 12 jumbe
- Juni 2013 5 jumbe
- Mei 2013 20 jumbe
- Aprili 2013 7 jumbe
- Machi 2013 1 ujumbe
- Februari 2013 4 jumbe
- Januari 2013 12 jumbe
- Disemba 2012 14 jumbe
- Oktoba 2012 14 jumbe
- Septemba 2012 2 jumbe
- Julai 2012 10 jumbe
- Juni 2012 11 jumbe
- Mei 2012 1 ujumbe
- Aprili 2012 14 jumbe
- Machi 2012 7 jumbe
- Januari 2012 6 jumbe
- Disemba 2011 12 jumbe
- Aprili 2011 11 jumbe
- Januari 2011 7 jumbe
- Agosti 2010 1 ujumbe
- Julai 2010 1 ujumbe
- Februari 2010 14 jumbe
- Disemba 2009 15 jumbe
- Novemba 2009 8 jumbe
- Oktoba 2009 8 jumbe
- Agosti 2009 1 ujumbe
- Julai 2009 8 jumbe
- Juni 2009 1 ujumbe
- Mei 2009 1 ujumbe
- Julai 2008 1 ujumbe
Ninajivunia kuwa Mwafrika niliyezaliwa katika nchi isiyounganishwa na lugha za wakoloni bali Kiswahili. Kwa hivyo, pamoja na majukumu mengine, ninaamini kwa dhati kabisa kuwa kuchangia ukuaji wa Kiswahili mtandaoni ni wajibu wangu wa kimsingi ili kuwawezesha wazungumzaji wa Kiswahili kujielimisha na kuhabarishwa kwa njia ya mtandao wa intaneti.

makala mpya zaidi zilizoandikwa na Christian Bwaya kutoka Oktoba, 2016
Picha za Mtandao wa Instagram Zaonesha Ukungu Unavyoifunika Khabarovsk
Wakazi wa Khabarovsk, mji ulioko Mashariki ya Mbali nchini Urusi, wamekuwa wakikaa ndani au kulazimika kuficha nyuso zao wanapokwenda nje tangu ukungu mzito kuufunika mji...
Urusi Inadaiwa Kuwa na Mpango wa Kuufungia Mtandao wa LinkedIn
LinkedIn, mtandao mkubwa zaidi unaowaunganisha wataalaam duniani kote, uko hatarini kufungiwa nchini Urusi, ambako wapelelezi wa serikali wamefanikiwa kuishawishi mahakama moja mjini Moscow kuufungia mtandao...
Mazungumzo ya GV: Global Voices Kutangaza Habari za Uchaguzi wa Marekani (MUBASHARA mnamo Desemba 26, Saa 11 Jioni GMT)
Trump, Hillary au Stein? Hata kama waandishi wetu wengi wa Global Voices hawataweza kupiga kura nchini Marekani, tunajisikia kuguswa kwenye uchaguzi huu wa Urais kama...
Video ya Katuni Yafafanua Mamlaka ya Mahakama ya Kiafrika katika Kulinda Haki na Binadamu na Raia
Huna hakika mahakama hiyo hufanya kazi gani? Video hii inaweza kusaidia.
Vijana Wanaojifunza Mchezo wa Kuteleza Afrika Kusini Wafanya kama Filamu ya ‘Valley of a Thousand Hills’
Mchezo wa kuteleza hauna umaarufu sana nchini Afrika Kusini, hasa katika jamii za weusi. Kijana mmoja wa ki-Zulu anasema, "Tunajifunza kuteleza ili tuishi maisha mazuri...
Sri Lanka Yaingia Hasara Kufidia Gharama za Matumizi Mabaya ya Serikali
Kiasi kikubwa cha fedha kilichotumika kuvunja mkataba wa manunuzi ya ndege mpya za Airbus kingetumika kwa mambo mengine mengi.
Kilichoandikwa na Shirika la Habari Urusi Wakati wa Mdahalo wa Mwisho wa Urais Marekani
Mradi wa RuNet unaoangazia habari za Urusi unapitia twiti zilizoandikwa usiku wa mdahalo huo na shirika kubwa la habari la Urusi ili kupata picha ya...
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Anahitaji Kutendewa Haki
Wiki hii, tunakuletea wanawake wanaosaka au wanaopata haki zao nchini Poland, Uruguay, Urusi na Syria.
Serikali ya Ethiopia Yazima Intaneti ya Simu za Mkononi na Mitandao ya Kijamii
Wale wanaoufuatilia mwenendo wa mambo wanahofia kuwa hatua hii inaweza kuwa dalili ya mwanzo wa hatari kwa maandamano hayo yaliyoendelea kwa miezi 12.
Nchini Tanzania, Kusema Msimamo Wako wa Kisiasa Mitandaoni Inazidi Kuwa Hatari
Tangu Rais John Magufuli ashinde uchaguzi wa Rais mwezi Oktoba 2015, watu 14 wameshakamatwa na kupandishwa kizimbani kwa kutumia mitandao ya kijamii kumtukana Rais