Ninajivunia kuwa Mwafrika niliyezaliwa katika nchi isiyounganishwa na lugha za wakoloni bali Kiswahili. Kwa hivyo, pamoja na majukumu mengine, ninaamini kwa dhati kabisa kuwa kuchangia ukuaji wa Kiswahili mtandaoni ni wajibu wangu wa kimsingi ili kuwawezesha wazungumzaji wa Kiswahili kujielimisha na kuhabarishwa kwa njia ya mtandao wa intaneti.
makala mpya zaidi zilizoandikwa na Christian Bwaya kutoka Julai, 2012
31 Julai 2012
Tanzania: Mgomo wa Walimu Watikisa Nchi
Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufanyika zoezi la sensa, walimu nchini Tanzania wako katika mgomo kuishinikiza serikali kuwalipa madai yao pamoja na kuboresha mishahara...
12 Julai 2012
8 Julai 2012
Cameroon: Ndoto za Umeme kwa Ajili ya Maendeleo ifikapo 2035
Cameroon inatarajiwa kufikia hadhi ya soko linalokua kwa kasi ifikapo mwaka 2035 kupitia "mafanikio makubwa" ya hatua kwa hatua katika maendeleo ya miundombinu ya usafiri...
7 Julai 2012
Misri: Mubarak Afariki Dunia kwa Mara Nyingine
Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak amewahi kufa angalau mara moja kwa kila baada ya majuma machache tangu kuanza kwa mapinduzi ya Misri, yaliyouangusha...
Sudani: Maandamano Yachochea Kukamatwa kwa Mwanaharakati wa Twita
Maandamano makubwa yaliyofanyika nchini Sudani siku ya Ijumaa yalisababisha kukamatwa kwa wanaharakati wengi wa nchi hiyo, pamoja na watumiaji maarufu wa mtandao wa twita.
Cuba: Maandamano yafanyika Mara Mbili, Wengi Wakamatwa
Kikundi cha wanawake kijiitacho ‘wanawake wavaliao mavazi meupe’ (Ladies in White) kwa mara nyingine wametawala fikra za wanablogu wa Cuba waishio nje ya nchi. Maandamano...
Tazama Picha za Afghanistan Ambazo Huwa Huzioni
Vyombo vingi vya habari vinavyovipoti hali inavyoendelea nchini Afghanistan hubeba taswira mbya. Kupitia miwani yao, Afghanistan huoneshwa kama nchi inayozama kwenye vimbi la mapigano na...