Christian Bwaya · Juni, 2016
- Oktoba 2019 1 ujumbe
- Februari 2019 1 ujumbe
- Julai 2018 1 ujumbe
- Juni 2018 2 jumbe
- Mei 2018 1 ujumbe
- Agosti 2017 1 ujumbe
- Julai 2017 4 jumbe
- Juni 2017 1 ujumbe
- Mei 2017 2 jumbe
- Aprili 2017 1 ujumbe
- Machi 2017 8 jumbe
- Februari 2017 5 jumbe
- Januari 2017 5 jumbe
- Disemba 2016 2 jumbe
- Novemba 2016 7 jumbe
- Oktoba 2016 11 jumbe
- Septemba 2016 4 jumbe
- Agosti 2016 1 ujumbe
- Julai 2016 9 jumbe
- Juni 2016 9 jumbe
- Mei 2016 5 jumbe
- Aprili 2016 7 jumbe
- Machi 2016 6 jumbe
- Februari 2016 1 ujumbe
- Disemba 2015 1 ujumbe
- Novemba 2015 6 jumbe
- Oktoba 2015 5 jumbe
- Septemba 2015 1 ujumbe
- Juni 2015 10 jumbe
- Mei 2015 10 jumbe
- Aprili 2015 25 jumbe
- Machi 2015 2 jumbe
- Februari 2015 19 jumbe
- Januari 2015 4 jumbe
- Novemba 2014 6 jumbe
- Oktoba 2014 19 jumbe
- Septemba 2014 21 jumbe
- Agosti 2014 1 ujumbe
- Julai 2014 43 jumbe
- Juni 2014 15 jumbe
- Mei 2014 23 jumbe
- Aprili 2014 44 jumbe
- Machi 2014 57 jumbe
- Februari 2014 34 jumbe
- Januari 2014 6 jumbe
- Disemba 2013 7 jumbe
- Novemba 2013 4 jumbe
- Oktoba 2013 26 jumbe
- Septemba 2013 18 jumbe
- Agosti 2013 2 jumbe
- Julai 2013 12 jumbe
- Juni 2013 5 jumbe
- Mei 2013 20 jumbe
- Aprili 2013 7 jumbe
- Machi 2013 1 ujumbe
- Februari 2013 4 jumbe
- Januari 2013 12 jumbe
- Disemba 2012 14 jumbe
- Oktoba 2012 14 jumbe
- Septemba 2012 2 jumbe
- Julai 2012 10 jumbe
- Juni 2012 11 jumbe
- Mei 2012 1 ujumbe
- Aprili 2012 14 jumbe
- Machi 2012 7 jumbe
- Januari 2012 6 jumbe
- Disemba 2011 12 jumbe
- Aprili 2011 11 jumbe
- Januari 2011 7 jumbe
- Agosti 2010 1 ujumbe
- Julai 2010 1 ujumbe
- Februari 2010 14 jumbe
- Disemba 2009 15 jumbe
- Novemba 2009 8 jumbe
- Oktoba 2009 8 jumbe
- Agosti 2009 1 ujumbe
- Julai 2009 8 jumbe
- Juni 2009 1 ujumbe
- Mei 2009 1 ujumbe
- Julai 2008 1 ujumbe
Ninajivunia kuwa Mwafrika niliyezaliwa katika nchi isiyounganishwa na lugha za wakoloni bali Kiswahili. Kwa hivyo, pamoja na majukumu mengine, ninaamini kwa dhati kabisa kuwa kuchangia ukuaji wa Kiswahili mtandaoni ni wajibu wangu wa kimsingi ili kuwawezesha wazungumzaji wa Kiswahili kujielimisha na kuhabarishwa kwa njia ya mtandao wa intaneti.

makala mpya zaidi zilizoandikwa na Christian Bwaya kutoka Juni, 2016
Watu Wasiopungua 42 Wafariki Dunia Kufuatia Shambulio la Uwanja wa Ndege Istanbul
Serikali inawalaumu magaidi wa ISIS kwa shambulio hilo. Wananchi na hoteli za miji mikuu nchini Uturuki zimewakaribisha wasafiri waliokwamba kufuatia mashambulio hayo
Raia Mwingine wa Tanzania Asomewa Mashtaka kwa Ujumbe wa Whatsapp ‘Unaomtukana’ Rais
Mulokozi ni mhanga mwingine wa Sheria ya Makosa ya Jinai nchini Tanzania, inayojaribu kukabiliana na masuala kama picha za ngono kwa watoto, udhalilishaji wa mtandao,...
Wa-Belarusi Waamua Kuchapa Kazi Wakiwa Uchi (Kutii Wito wa Rais)
Watumiaji wa mtandao nchini Belarusi wamekuwa wakivua nguo wakiwa makazini, baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Lukashenka.
Wa-Japan Walivyo na Mapenzi kwa Kapibara, Wanyama wenye Sura ya Panya Buku
Nchini Japan, inaonekana kuna utamaduni wa mtandaoni wa kuwapenda kapibara, wanyama wakubwa kama panya buku wenye asili ya Marekani ya Kusini
Du! Kosa la Facebook Kugeuza Bendera ya Ufilipino Laifanya Nchi Ionekane iko kwenye ‘Hali ya Vita’
"Jamani @facebook: Bendera ionekane hivi na iwe Siku ya Uhuru. Kweli? ."
Mwanaume wa Tanzania Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Mitatu Jela kwa “Kumtukana” Rais kwenye Mtandao wa Facebook
Hukumu hii inakuja baada ya Sheria ya Makosa ya Jinai ya Tanzania kupitishwa mwaka 2015, ambayo wakosoaji wengi wanasema inawapa polisi mamlaka makubwa bila udhibiti...
Ubaguzi wa India kwa Waafrika Waibuka Tena Baada ya m-Kongo Kuuawa kwa Kupigwa
Sema, "India inakupenda," kwa wa-Islamu, wa-Daliti, wa-afrika, wasio na dini...na kisha rudi ukawapige makofi?
Namna Posti ya Blogu Ilivyobadilisha Maisha ya Mama wa ki-Somali Mwenye Watoto Nane
Wasomaji waguswa na habari na kuchanga zaidi ya dola za Marekani 4,000 ndani ya siku moja
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Mashujaa Wasiofahamika
Wiki hii, tunaelekea hadi Bosnia na Herzegovina, Japan na Myanmar