Mghosya · Juni, 2013

makala mpya zaidi zilizoandikwa na Mghosya kutoka Juni, 2013

Rais Obama Kuitembelea Tanzania

Rais wa kwanza wa Marekani mwenye asili ya Afrika, Barack Obama anatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam kesho alasiri kwa ziara ya kiserikali. Blogu ya Swahili Time imeweka ratiba ya...

30 Juni 2013

Kufilisika kwa Watu nchini Malaysia

iMoney.my wametengeneza mchoro unaoelezea takwimu za kufilisika nchini Malaysia. Wastani wa matukio 20,000 ya kufilisika yamerekodiwa mwaka 2012 hiyo na maana kwamba wa-Malaysia 53 wanafilisika kila siku.

30 Juni 2013

Bahrain: Sheria Mpya za Kudhibiti Huduma ya Skype na Viber

"Tahadhari za Kiusalama" zinatajwa kuwa sababu zilizolazimisha kutungwa kwa sheria mpya zinazoweza kuhitimisha matumizi ya huduma maarufu za Skype, WhatsApp, Viber na Tango nchini Bahrain. Afisa wa serikali alisema utafiti unafanywa kuweza kudhibiti zana tumizi za mawasiliano ya sauti mtandaoni - huduma zinazotumika sana, na zinazosababisha hasara kubwa kwa makampuni ya simu.

30 Juni 2013

Wanaharakati 36 wa Azeri Wakamatwa nchini Iran

Wanaharakati thelathini na sita wa Azeri akiwamo mwanablogu mmoja, Kiaksar, walikamatwa siku ya Alhamisi, 27 Juni katika eneo la Urmia. Vikosi vya usalama viliwaachilia huru wanaharakati hao 300 baada ya...

29 Juni 2013