Mghosya · Machi, 2015

Lecturer in Psychology and Learning │ Consultant in Child Protection, Didatics and Behavioural Change │ Advocate for Child Rights, Mental Health and Indigenous Knowledge & Languages

Anwani ya Barua Pepe Mghosya

makala mpya zaidi zilizoandikwa na Mghosya kutoka Machi, 2015

Shambulio la Kigaidi Laua Watu Watano Mjini Bamako

Shambuliko la kigaidi lilitekelezwa kwenye mgahawa jijini Bamako, makao makuu ya Mali, limechukua maisha ya watu watano usiku wa siku ya Ijumaa mnamo Machi, 6. Shambulio hilo lilifanyika usiku wa maneno kwenye mkahawa unaoitwa took Terrasse kwenye mitaa ya Bamako na watu zaidi ya kumi wamejeruhiwa vibaya. Washukuiwa wawili wamekamatwa...