Ninajivunia kuwa Mwafrika niliyezaliwa katika nchi isiyounganishwa na lugha za wakoloni bali Kiswahili. Kwa hivyo, pamoja na majukumu mengine, ninaamini kwa dhati kabisa kuwa kuchangia ukuaji wa Kiswahili mtandaoni ni wajibu wangu wa kimsingi ili kuwawezesha wazungumzaji wa Kiswahili kujielimisha na kuhabarishwa kwa njia ya mtandao wa intaneti.
makala mpya zaidi zilizoandikwa na Christian Bwaya kutoka Juni, 2018
14 Juni 2018
Tovuti huru maarufu nchini Tanzania zafungwa kufuatia ‘kodi ya blogu’

"Hii sio tu ni leseni ya kujidhibiti mwenyewe lakini pia ni namna ya kuwa nyenzo ya serikali kuwafuatilia haki ya kiraia ya wengine (wachangiaji) kujieleza."
11 Juni 2018
Kutoka Mavumbini mpaka Ushujaa

Ambapo mhamiaji asiyeandikishwa kutoka Mali anakwea ghorofa na—ghafla—anakuwa shujaa.