makala mpya zaidi zilizoandikwa na Mghosya kutoka Novemba, 2014
Shiriki Zoezi la Kujifunza Lugha za Asili Mtandaoni
Badala ya zoezi la kuweka mabonge ya barafu vichwani mwao, watetezi hawa wa lugha wamekubali kushiriki zoezi la lugha za asili kwa njia ya video
Waandamanaji Wavamia Ukumbi wa Sinema na Kusema ‘Hunger Games’ Inaendelea Nchini Thailand
Wanafunzi wa ki-Thai jijini London waliandamana nje ya ukumbi uliokuwa unaonesha filamu maarufu ya "The Hunger Games," wakitaka masuala yanayotishia demokrasi nchini mwao yamwulikwe.
Kuelimisha Wasichana Leo, Kuwawezesha Wanawake Kesho
Marita Seara, anayeblogu kwenye Voces Visibles (Sauti Zinazoonekana), anatukaribisha kutafakari suala la ubaguzi unaowaathiri wasichana na vijana wanaopevuka —kupata elimu– na hitaji ya kuwaelimisha wasichana wetu leo ili waweze kuwa wanawake waliowezeshwa kesho na keshokutwa. Kwa mujibu wa takwimu za shirika la kutetea haki za binadamu duniani Amenisty International, wasichana...
Kufanyiwa Kazi na Faida za Matokeo ya Utafiti, Tafiti za Vyuo Vikuu Zina Tija?
Mawazo ikiwa umma wa wananchi unathamini tafiti zinazofanywa na vyuo vikuu, yamewachokoza mwanazuoni César Viloria kutoa mwangaza kidogo kuhusu suala hili kwenye blogu yake. Kuhusu utafiti, lazima tufahamu kwamba kuna aina mbili kuu: utafiti msingi na utafiti tumizi. Utafiti msingi hufanywa kwa minajili ya kuongeza au kuja na maarifa mapya...
Shindano la Insha GV: Namna Gani Sera za Intaneti Zinaathiri Jamii Yako?
Mradi wa Global Voices Advox unakaribisha wanajumuiya na washirika wengine kutuma insha zinazoeleza madhara ya sera za Intaneti katika jamii za mahali mbalimbali duniani.
Siasa za Afya ya Rais Nchini Zambia
Ajong Mbapndah wa Pan African Vision anazungumza na Gershom Ndhlovu kuhusu siasa zinazozunguka ugonjwa na kifo cha Rais wa Zambia Michael Sata: Rais Michael Sata siku za hivi karibuni amefariki dunia jijini London na inaonekana afya yake na huduma za tiba alizopatiwa ziligobikwa na usiri, kwa nini wananchi wa Zambia...